Ayatullah Ahmad Jannati
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema kuwa, kuanzisha na kutangaza wazi kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel hakutauwezesha utawala huo ghasibu uendelee kubakia.
Habari ID: 3473086 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/20